Banda la AIRTEL. Baadhi ya wateja wakihudumiwa katika banda hiloBanda la Mawasiliano na ndio maana mmoja wa wafanyakazi wa banda hilo anawasiliana kwa simuSimbaBanda la Maliasili na Utalii
Mabanda ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege TAAMmoja wa wananchi (kushoto) katika mabanda ya JWTZ na JKT akichangia damuWananchi wakiwa kwenye foleni kuingia moja ya mabanda ya JWTZ kitengo cha kliniki ya machoBanda la JWTZ Hospitali ya Lugalo, hapa mmoja wa wananchi akizungumza na daktari
Mmoja wa wananchi (kulia) aliyetembelea banda la APRM akipewa maelezo namna taasisi hiyo inavyofanya kazi.