Matukio mbalimbali ya wiki ya utumishi wa umma

Matukio mbalimbali ya wiki ya utumishi wa umma

Banda la AIRTEL. Baadhi ya wateja wakihudumiwa katika banda hilo
Banda la Mawasiliano na ndio maana mmoja wa wafanyakazi wa banda hilo anawasiliana kwa simu
Simba
Banda la Maliasili na Utalii

Mabanda ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege TAA
Mmoja wa wananchi (kushoto) katika mabanda ya JWTZ na JKT akichangia damu
Wananchi wakiwa kwenye foleni kuingia moja ya mabanda ya JWTZ kitengo cha kliniki ya macho
Banda la JWTZ Hospitali ya Lugalo, hapa mmoja wa wananchi akizungumza na daktari

Mmoja wa wananchi (kulia) aliyetembelea banda la APRM akipewa maelezo namna taasisi hiyo inavyofanya kazi.

Related Post