BAO la Ji Dong-won katika muda wa majeruhi siku ya Jumapili uliiwezesha Sunderland, ikicheza nyumbani kupata ushindi ambao uliwashangaza mashabiki wa Manchester City, ambao hadi…
Continue Reading....Year: 2012
Mji wa Sudan Kusini watekwa
MJI wa Pibor ulitekwa na kabila la Lou Nuer Jumamosi, ingawa kulikuwa na askari wa Umoja wa Mataifa hapo pamoja na wanajeshi wa serikali. Shirika…
Continue Reading....Waumini Kanisa la Kikristo kujengewa uwezo
Na Tiganya Vincent, MAELEZO- Dar es Salaam WASHIRIKI zaidi ya 200 wa Kanisa la Kristo kutoka sehemu mbalimbali nchini wanatarajia kukutana jijini Dar es Salaam…
Continue Reading....Iran yajaribu kombora jipya
IRAN inasema imefanya jaribio la kurusha kombora la masafa ya wastani. Jaribio hilo lilifanywa wakati wa mazoezi ya jeshi karibu na Hormuz, mlango unaounganisha Ghuba…
Continue Reading....Dk. Shein ahaidi neema 2012 kwa Wazanzibar
Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) mwaka 2012 imeahidi kuimarisha miundombinu na ubora wa huduma za jamii zikiwemo elimu, afya na…
Continue Reading....Shambulio la Garissa Al-shabaab wausishwa watano wauwawa
WATU WATANO wameuwawa na zaidi ya 20 kujeruhiwa kwenye klabu ya starehe mjini Garissa, kaskazini-mashariki mwa Kenya. Washambuliaji walirusha maguruneti kwenye klabu hiyo na kisha…
Continue Reading....