*Wampinga Dk Magufuli kupandisha nauli vivuko WABUNGE wa Mkoa wa Dar es Salaam wamepinga hatua ya Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi kupandisha gharama ya kivuko…
Continue Reading....Year: 2012
Maisha 2012 hayashikiki-Watabiri
IMETABIRIWA kuwa mwaka 2012 utakuwa mwaka mwengine mbaya kiuchumi kwa bara la Ulaya, ingawa ahuweni ya kiuchumi katika masoko yanayoinukia na Marekani huenda ikaufanya uchumi…
Continue Reading....Michael Essien kurejea uwanjani Januari
Kiungo wa Chelsea Michael Essien atarejea uwanjani katikati ya mwezi wa Januari baada ya kupona maumivu ya goti yaliyokuwa yakimsumbua kwa muda mrefu. Michael Essien…
Continue Reading....Mwanamuziki Senegal atangaza kugombea urais
MWANAMUZIKI mashuhuri nchini Senegal na mwanaharakati wa kisiasa,Youssou N’dour, ametangaza kuwania kiti cha urais katika uchaguzi wa mwezi Februari nchini humo. Mwanamuziki huyo amesema kuwa…
Continue Reading....Al- Mahmoundi kurudishwa Libya
RAIS wa Tunisia, Moncef Marzouki, amesema nchi hiyo haitamuwasilisha kwa mashtaka nchini Libya aliyekuwa waziri mkuu wa Libya, Baghdadi Al-Mahmoudi, bila ya hakikisho kwamba atashtakiwa…
Continue Reading....