Na Joachim Mushi WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi leo jijini Dar es Salaam imetangaza msamaha kwa wahitimu 9,626 wa darasa la saba waliofutiwa…
Continue Reading....Year: 2012
Maneno Osward kuzichapa tena na Rashid Matumla
Na Mwandishi Wetu MAANDALIZI ya pambano lisilo la ubingwa kati ya mabondia Rashid Matumla ‘Snake Man’ na Maneno Oswald ‘Mtambo wa Gongo’ lililopangwa kupigwa Februari…
Continue Reading....NSSF wasaini ujenzi wa Daraja la Kigamboni
*Ujenzi kuanza, Dk Magufuli ashinikiza likamilike mapema
Continue Reading....Hakuna Mzanzibar ambaye hajanufaika na Mapinduzi-Dk Shein
Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema hakuna mwananchi hata mmoja wa Zanzibar…
Continue Reading....Rais wa Guinea Bissau afariki dunia
RAIS wa Guinea Bissau, Malam Bacai Sanha, amefariki dunia katika hospitali moja mjini Paris, nchini Ufaransa, alipokuwa akipokea matibabu. Ofisa mmoja wa Serikali ya Ufaransa…
Continue Reading....Ni mgomo wa kutisha nchini Nigeria
MGOMO wa nchi nzima umeitishwa nchini Nigeria kupinga kuondolewa kwa ruzuku ya mafuta ambayo imesababisha shughuli za nchi hiyo kusimama. Maduka mengi, ofisi, shule na…
Continue Reading....