Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2012
  • Page 514

Year: 2012

Kiongozi wa Boko Haram aliyekuwa chini ya ulinzi atoweka

Posted on: January 18, 2012 - jomushi
Kiongozi wa Boko Haram aliyekuwa chini ya ulinzi atoweka

*Ni baada ya msafara wa Polisi Nigeria kushambuliwa IDARA ya Polisi nchini Nigeria, imethibitisha kuwa mshukiwa mmoja ambaye anaaminika kuwa kiongozi wa Kundi la Boko…

Continue Reading....

Mauaji yashamiri Sudan Kusini

Posted on: January 18, 2012January 18, 2012 - jomushi
Mauaji yashamiri Sudan Kusini

WATU wenye silaha wamewaua takriban watu 51 wengi wakiwa wanawake na watoto katika mapigano ya hivi karibuni katika jimbo lenye mgogoro la Jonglei, gavana wa…

Continue Reading....

Serikali yasema haijawafukuza madaktari

Posted on: January 17, 2012 - jomushi
Serikali yasema haijawafukuza madaktari

*Yakana kupokea tamko la madaktari Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri wa Afya, Lucy Nkya amesema tamko lililotolewa na Chama cha Madaktari Tanzania la kutoa saa…

Continue Reading....

SBC Tanzania waisaidia Twiga Stars vinywaji

Posted on: January 17, 2012 - jomushi
SBC Tanzania waisaidia Twiga Stars vinywaji

Na Mwandishi Wetu TIMU ya Taifa ya wanawake Twiga Stars Januari 17 mwaka huu imekabidhiwa msaada wa maji ya kunywa na soda ikiwa ni sehemu…

Continue Reading....

Rejia Mtema ni nyota inayongaa – Makinda

Posted on: January 17, 2012 - jomushi
Rejia Mtema ni nyota inayongaa – Makinda

Na Mwandishi Maalumu SPIKA wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda amesema aliyekuwa Mbunge wa Viti wa Maalum mkoa wa Morogoro (CHADEMA) Bi. Regia Mtema ni…

Continue Reading....

Mahakama ya Rufani Tanzania kusikiliza jinai 33

Posted on: January 17, 2012 - jomushi
Mahakama ya Rufani Tanzania kusikiliza jinai 33

Na Magreth Kinabo – MAELEZO MAHAKAMA ya Rufani Tanzania itasikiliza jumla ya kesi 33 zinazohusu watu mbalimbali. Kesi hizo ambazo ni za madai na makosa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari