Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2012
  • Page 493

Year: 2012

KATIBU MKUU WIZARA YA VIWANDA , BIASHARA NA MASOKO BI. JOICE MAPUNJO KATIKA UZINDUZI WA MUONEKANO MPYA YA BIA YA SERENGETI, 28TH JANUARI 2012,

Posted on: February 1, 2012 - jomushi
KATIBU MKUU WIZARA YA VIWANDA , BIASHARA NA MASOKO BI. JOICE MAPUNJO KATIKA UZINDUZI WA MUONEKANO MPYA YA BIA YA SERENGETI, 28TH JANUARI  2012,

TUATAMBUA fika mchango mkubwa wa Kampuni ya Bia ya Serengeti katika kukuza na kuendeleza uchumi wa taifa letu. Serengeti ni moja kati ya kampuni zilizojenga…

Continue Reading....

Moi yafunga huduma za kliniki

Posted on: February 1, 2012 - jomushi
Moi yafunga huduma za kliniki

MGOMO wa madaktari umezidi kutikisa na kuathiri huduma za afya katika hospitali kuu nchini, huku Taasisi ya Mifupa (Moi) ikitangaza rasmi kufunga kliniki zote zinazohudumia…

Continue Reading....

Rais Kikwete amkana Pinda, Makinda

Posted on: February 1, 2012 - jomushi
Rais Kikwete amkana Pinda, Makinda

Asema aliwataka watumie busara, Spika asisitiza aliruhusu, Wananchi wachachamaa SIKU moja baada ya Waziri Mkuu Mkuu, Mizengo Pinda kusema tayari Rais Jakaya Kikwete amesaini kuidhinisha…

Continue Reading....

JK akana kubariki posho mpya za wabunge

Posted on: January 31, 2012 - jomushi
JK akana kubariki posho mpya za wabunge

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Tanzania, Jakaya Kikwete amekana taarifa za kwamba ameridhia la kiwango kipya cha posho za wabunge (yaani sh. 330,000 kwa siku)…

Continue Reading....

Tanzania kujenga Makao Makuu ya Mahakama ya Haki za Binadamu

Posted on: January 31, 2012 - jomushi
Tanzania kujenga Makao Makuu ya Mahakama ya Haki za Binadamu

Na Mwandishi Maalumu RAIS wa Tanzania, Jakaya Kikwete amesema kuwa Tanzania itagharamia ujenzi wa makao makuu ya kudumu ya Mahakama ya Haki za Binadamu ya…

Continue Reading....

Serikali yapeleka madaktari wa Jeshi Muhimbili

Posted on: January 31, 2012January 31, 2012 - jomushi
Serikali yapeleka madaktari wa Jeshi Muhimbili

Na Mwandishi Wetu SERIKALI ya Tanzania imelazimika kuchukua madaktari 15 kutoka Hospitali ya Jeshi la Wananchi Tanzania ya Lugalo na kuwapeleka katika Hospitali ya Taifa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari