Na Nicodemus Ikonko, EANA KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Dk. Richard Sezibera amesisitiza umuhimu wa jamii kuheshimu masuala ya njinsia na kuonya…
Continue Reading....Year: 2012
Maelfu kukumbwa na njaa eneo la Sahel
SHIRIKA la misaada la Uingereza Oxfam, limeonya kuwa huenda kukatokea janga kubwa la kibinadam katika eneo la Sahel Afrika Magharibi kutokana na ukame mkubwa unaoendelea…
Continue Reading....Serikali itekeleze kwa vitendo mkataba wa haki za watu wenye ulemavu
Na Joachim Mushi, dev.kisakuzi.com-Arumeru BAADHI ya waenezi wa Mkataba wa Haki za Watu wenye Ulemavu na wafanyakazi walemavu wilayani hapa wameitaka Serikali kuonesha kwa vitendo…
Continue Reading....Wauguzi elfu 25 waliogoma wafutwa kazi Kenya
SERIKALI nchini Kenya imewafukuza kazi wauguzi 25,000 waliogoma kwa kushindwa kurudi kazini. Msemaji wa Serikali hiyo, Alfred Mutua amewataka watu wote wenye taaluma ya afya…
Continue Reading....RC Dar asema wamejipanga kukabiliana na mgomo wa madaktari
Na Magreth Kinabo – MAELEZO SERIKALI imesema imejipanga vizuri ili kukabiliana na mgomo wa madaktari unaoendelea katika baadhi ya hospitali za Jiji la Dar es…
Continue Reading....Serikali yatangaza rasmi mikoa mipya minne na wilaya 19
Na Mwandishi Maalumu SERIKALI imetoa matangazo rasmi ya Serikali (Government Notices) kuhusu uanzishaji wa mikoa mipya minne na wilaya mpya 19 ambayo yamechapishwa tangu Machi…
Continue Reading....