Picha zote na Arusha yetu Blog www.arusha-yetu.blogspot.com
Continue Reading....Year: 2012
Mashabiki 11,056 wazishuhudia Coastal Union, Yanga
WASHABIKI 11,056 ndiyo waliokata tiketi kushuhudia pambano la Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Coastal Union na Yanga lililochezwa juzi (Machi 31 mwaka huu)…
Continue Reading....Takwimu za mimba shule za sekondari Moshi zaongezeka
Mwandishi Wetu, Moshi TATIZO la mimba kwa shule za sekondari Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro limetajwa tishio kubwa, kwani ndani ya kipindi cha mwaka 2011…
Continue Reading....EAC kupokea zaidi ya dola mil. 7 kwa ajili ya miradi Ziwa Victoria
Na James Gashumba, EANA NCHI tano wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zinatarajiwa kupokea kiasi cha dola za Kimarekani milioni 7.3 kwa ajili ya…
Continue Reading....Mbunge Mnyika atoa shukrani na pole!
TUNAWASHUKURU sana wana Arumeru Mashariki kwa kutuongezea nguvu ya kijana Joshua Nassari. Shukrani kwa wananchi, wana-Chadema, Serikali kwa kusimamia katika ukweli wa ushindi huu wa…
Continue Reading....