Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2012
  • Page 384

Year: 2012

Charles Taylor kuhukumiwa leo

Posted on: April 26, 2012 - jomushi
Charles Taylor kuhukumiwa leo

MAJAJI katika Mahakama maalum ya vita nchini Sierra Leone, leo watatoa hukumu dhidi ya aliyekuwa Rais wa Liberia Charles Taylor kwa kuhusika na vita hivyo…

Continue Reading....

TGNP yaitaka Serikali kuwawajibisha mawaziri na watendaji waliofuja fedha

Posted on: April 25, 2012 - jomushi
TGNP yaitaka Serikali kuwawajibisha mawaziri na watendaji waliofuja fedha

Na Mwandishi Wetu MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP) imeitaka Serikali kuwawajibisha mara moja mawaziri, manaibu waziri na watendaji wakuu wa Serikali na mashirika ya umma…

Continue Reading....

Naibu Waziri Kitwanga afungua Mkutano wa Umoja wa Taasisi za Mawasiliano Kusini mwa Afrika

Posted on: April 25, 2012 - jomushi
Naibu Waziri Kitwanga afungua Mkutano wa Umoja wa Taasisi za Mawasiliano Kusini mwa Afrika

Continue Reading....

Mkutano Mkuu EAC kujadili maombi ya Sudan Kusini

Posted on: April 25, 2012 - jomushi
Mkutano Mkuu EAC kujadili maombi ya Sudan Kusini

Na Nicodemus Ikonko, EANA WAKUU wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanatarajiwa kukutana Arusha, Tanzania, Jumamosi, Aprili 28, katika mkutano maalum utakaojadili…

Continue Reading....

Francis Cheka na Japhet Kaseba uso kwa uso siku ya sabasaba

Posted on: April 25, 2012 - jomushi
Francis Cheka na Japhet Kaseba uso kwa uso siku ya sabasaba

Na Mwandishi Wetu BINGWA wa kick Boxing. Japhet Kaseba amesaini mkataba wa kucheza na Bingwa wa dunia wa ndondi mkanda unaomilikiwa na IBC, Francis Cheka…

Continue Reading....

Mila na desturi zakwamisha chanjo Arusha

Posted on: April 25, 2012April 25, 2012 - jomushi
Mila na desturi zakwamisha chanjo Arusha

JUMLA ya watoto 20,500 inadaiwa hawajapewa chanjo kati ya mwaka 2009 hadi 2011 huku wazazi wengi wakionekana kukumbatia mila potofu kuwa chanjo ina madhara kwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari