Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2012
  • Page 358

Year: 2012

Mwili wa Marehemu Rhode P. Muze wasafirishwa kwenda Usangi kwa mazishi

Posted on: May 11, 2012May 11, 2012 - jomushi
Mwili wa Marehemu Rhode P. Muze wasafirishwa kwenda Usangi kwa mazishi

MWILI wa marehemu Rhode Philipo Muze umesafirishwa jana kuelekea Usangi Mwanga mkoani Kilimanjaro tayari kwa mazishi yatakayofanyika Ijumaa ya Mai 12, 2012 saa tisa kijijini…

Continue Reading....

Wanaume wazikimbia familia kwa kisingizio cha ugumu wa maisha

Posted on: May 11, 2012 - jomushi
Wanaume wazikimbia familia kwa kisingizio cha ugumu wa maisha

Na Joachim Mushi, Handeni BAADHI ya wanaume wamelazimika kuzikimbia familia zao kwa kisingizio cha ugumu wa maisha. Wanaume hao wamezitelekeza familia hizo na kuziacha na…

Continue Reading....

Dk. Bilal azindua Taasisi ya Wakurugenzi Tanzania

Posted on: May 11, 2012 - jomushi
Dk. Bilal azindua Taasisi ya Wakurugenzi Tanzania

Continue Reading....

Madiwani wamkataa Mkuu wa Wilaya wa Tarime

Posted on: May 10, 2012 - jomushi
Madiwani wamkataa Mkuu wa Wilaya wa Tarime

Na Shomari Binda Tarime SIKU moja baada ya kuteuliwa kwa wakuu wa Wilaya, madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime wamemkataa Mkuu wa Wilaya ya…

Continue Reading....

Zimbabwe wachekelea kujipima na Twiga Stars

Posted on: May 10, 2012May 11, 2012 - jomushi
Zimbabwe wachekelea kujipima na Twiga Stars

TIMU ya Taifa ya mpira wa miguu kwa wanawake ya Zimbabwe imefurahia kucheza mechi ya kirafiki na Tanzania (Twiga Stars) itakayofanyika Jumamosi ya Mei 12…

Continue Reading....

Wizara ya Afya Zanzibar yaeleza mchakato wa kusaka hospitali ya rufaa

Posted on: May 10, 2012May 10, 2012 - jomushi
Wizara ya Afya Zanzibar yaeleza mchakato wa kusaka hospitali ya rufaa

Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar WIZARA ya Afya imeeleza hatua zilizofikiwa na zinazoendelea kuchukuliwa katika kutekeleza azma ya kuifanya hospitali kuu ya Mnazi Mmoja kuwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari