Jeshi la Uganda linasema kuwa limemkamata afisa mwandamizi wa kundi la wapiganaji la LRA – kundi ambalo limekuwa likiwauwa na kuwateka nyara watu Afrika mashariki…
Continue Reading....Year: 2012
Manchester City yarudisha heshma Ligi ya England
Manchester City ikifunga mabao mawili zikiwa zimesalia dakika mbili za nyongeza mpira kumalizika, wamefanikiwa kuunyakua ubingwa wa Ligi Kuu ya Kandanda ya England kwa kuwalaza…
Continue Reading....Wenye ulemavu waomba kutosahaulika Sensa ya makazi 2012
VITENDO vya baadhi ya wazazi katika wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro kuwaficha ndani watoto wenye ulemavu, vimeelezewa kuwa tatizo kubwa ambalo linaweza kukwamisha zoezi la…
Continue Reading....mashindano ya Pool vyuo vya Dodoma yaendelea
Mchezaji wa Chuo Kikuub cha UDOM ,Justine Oresther akipiga mpira wakati wa mashindano ya mchezo wa pool kwa vyuo vikuu vya Dodoma michezo hiyo inadhaminiwa…
Continue Reading....Sekondari za Kata Handeni zachochea mimba kwa wanafunzi
Na Joachim Mushi, Thehabari, Handeni WANANCHI wilayani Handeni wameilalamikia mazingira magumu kimiundombinu ya shule za sekondari za kata katika wilaya hilo na kudai ndiyo chanzo…
Continue Reading....Mbunge Estar Bulaya atoa msaada vifaa vya michezo Musoma
Na Shomari Binda wa Binda News Musoma MBUNGE wa viti maalumu kupitia vijana mkoani Mara Estar Bulaya ametoa vifaa vya michezo kwa kata 13 za…
Continue Reading....