Waziri wa Fedha, Dk. William Mgimwa, amesema serikali itaanza kutekeleza mkakati wa kulinda thamani ya Shilingi ya Tanzania ambayo imekuwa ikiporomoka thamani yake. Dk. Mgimwa…
Continue Reading....Year: 2012
Mbunge wa Chadema azushiwa zengwe
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimekanusha taarifa zilizozaa kwenye mitandao kuwa Mbunge wa Viti maalumu kupitia chama hicho, Leticia Nyerere, amekamatwa na uhamiaji kwa…
Continue Reading....Wengi zaidi wajitoa CCM, wakimbilia Chadema
Jinamizi la wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kukihama chama hicho limezidi kukiandama ambapo safari hii Kamanada wa vijana Kata ya Ilala jijini Dar es…
Continue Reading....Michango hii Shule ya Msingi Makumbusho inakera
LICHA ya Serikali kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kutangaza kuwa imefuta michango kedekede ya shule za msingi ili kuwawezesha wanafunzi wote kupata…
Continue Reading....Miss East Africa 2012; Ethiopia yatoa mshiriki
WAREMBO watakaoziwakilisha nchi zao katika mashindano ya Miss East Africa mwaka huu wanaendelea kupatikana kutoka katika nchi mbalimbali zinazoshiriki mashindano hayo. Mrembo mwingine aliyeingia fainali…
Continue Reading....Pakistan kuifungua tena njia ya misafara ya NATO
WAZIRI wa Mambo ya Nchi za Nje wa Pakistan amesema wakati umewadia kufungua njia ya misafara ya NATO kuelekea Afghanistan, akisema Serikali imetoa ujumbe unaoeleweka…
Continue Reading....