Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2012
  • Page 340

Year: 2012

Mabondia wapima uzito kwa mpambano

Posted on: May 19, 2012 - jomushi
Mabondia wapima uzito kwa mpambano

MABONDIA, Ramadhan Kumbele na James Mokiwa wamepima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika kesho katika Ukumbi wa VIJANA – KINONDONI. Mabondia wote wapo katika…

Continue Reading....

Omy Dimpoz kuzindua single ‘Baadae’ Bilcanas

Posted on: May 19, 2012 - jomushi
Omy Dimpoz kuzindua single ‘Baadae’ Bilcanas

Na Mwandishi Wetu BAADA ya kutamba na wimbo wake wa Nai Nai Msanii anaekuja juu kwa kasi ya ajabu na mshindi wa Tuzo mbili za…

Continue Reading....

Mbunge wa Mufindi Kusini, apata ajali, alazwa

Posted on: May 19, 2012 - jomushi
Mbunge wa Mufindi Kusini, apata ajali, alazwa

MBUNGE amepata ajali leo na amelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Iringa kwa matibabu zaidi. Hata hivyo taarifa zinasema hali yake kwa sasa inaendelea vizuri…

Continue Reading....

CCM wameteka Mchakato wa Katiba-Chadema

Posted on: May 19, 2012 - Rungwe Jr.
CCM wameteka Mchakato wa Katiba-Chadema

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeijia juu Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (NEC) kwa kitendo cha kuteka mchakato wa katiba mpya kabla ya…

Continue Reading....

CCM champuuza Mbunge Shibuda

Posted on: May 19, 2012 - Rungwe Jr.
CCM champuuza Mbunge Shibuda

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimempuuza Mbunge wa Maswa Magharibi (Chadema), John Shibuda, kufuatia kauli yake ya kudai kuwa atagombea urais kupitia Chadema katika uchaguzi mkuu…

Continue Reading....

Malawi kubatilisha sheria ya mapenzi

Posted on: May 19, 2012May 19, 2012 - jomushi
Malawi kubatilisha sheria ya mapenzi

RAIS wa Malawi,Joyce Banda amesema kuwa anataka nchi hiyo ibatilishe sheria inayoharamisha ndoa za jinsia moja na kuifanya nchi ya kwanza ya kiafrika kufanya hivyo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari