Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2012
  • Page 328

Year: 2012

Tanzania yaahidi mshikamano na Zimbabwe

Posted on: May 26, 2012 - jomushi
Tanzania yaahidi mshikamano na Zimbabwe

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete amesema kuwa Tanzania itaendelea kuunga mkono kwa dhati jitihada za Zimbabwe katika kutafuta mwafaka wa kudumu…

Continue Reading....

Wauguzi Mara wagoma, wadai unyanyasaji kimaslahi umekithiri

Posted on: May 26, 2012 - jomushi
Wauguzi Mara wagoma, wadai unyanyasaji kimaslahi umekithiri

Na Shomari Binda wa Binda News-Musoma WAUGUZI katika hospitali ya Mkoa wa Mara wameweka mgomo wa kuingia wodini na kutoa huduma mbalimbali katika hospitali hiyo…

Continue Reading....

Yanga yaomba msaada wa kisheria TFF, ni baada ya mambo ‘kuvurugika’

Posted on: May 25, 2012May 25, 2012 - jomushi
Yanga yaomba msaada wa kisheria TFF, ni baada ya mambo ‘kuvurugika’

KWA vile wajumbe kadhaa wa Kamati ya Utendaji ya Yanga akiwemo Mwenyekiti wa kamati hiyo Lloyd Nchunga wamejiuzulu, Kamati ya Uchaguzi ya Yanga imeliandikia barua…

Continue Reading....

Taifa Stars kupambana na Malawi leo

Posted on: May 25, 2012 - jomushi
Taifa Stars kupambana na Malawi leo

TIMU za Taifa za Tanzania (Taifa Stars) na Malawi (The Flames) zinapambana leo Mei 26 mwaka huu katika mechi ya kirafiki itakayofanyika Uwanja wa Taifa,…

Continue Reading....

Ajali mbaya Babati, watu 6 wafa wawili majeruhi

Posted on: May 25, 2012 - jomushi
Ajali mbaya Babati, watu 6 wafa wawili majeruhi

Na Mwandishi Wetu, Thehabari-Manyara HABARI zilizotufikia zinasema watu sita (6) wamefariki dunia huku wengine wawili (2) wakijeruhiwa katika ajali iliyotokea eneo la Sigino wilayani Babati…

Continue Reading....

ICD yazindua mtandao wa taarifa kuhusu walemavu

Posted on: May 25, 2012 - jomushi
ICD yazindua mtandao wa taarifa kuhusu walemavu

Na Joachim Mushi, dev.kisakuzi.com KITUO cha Habari Kuhusu Ulemavu (ICD) nchini Tanzania kimezindua mtandao (Blogu) ambayo itakuwa ikikusanya taarifa mbalimbali kuhusiana na masuala ya walemavu…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari