RAIS wa zamani nchini Liberia Charles Taylor amehukumiwa miaka 50 jela na Makahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita. Mwezi jana Taylor alipatikana na makosa…
Continue Reading....Year: 2012
Miti 120 yavunywa kinyemela Moshi
Na mwandhishi wetu-Kilimanjaro LICHA ya serikali mkoani Kilimanjaro kupiga marufuku uvunaji wa miti kwa lengo la kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi,watu wasio fahamika wamevuna miti…
Continue Reading....JK ateuwa wakurugenzi mabalozi Mambo ya Nje
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete ameteua Wakurugenzi wapya tisa wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa ambao pia…
Continue Reading....TAWLA yatoa semina ya Katiba kwa Waandishi wa Habari
Moja ya mada zilizochukuwa muda mrefu kujadiliwa ni ile ya Katiba Mpya, ambapo wajumbe walitaka iweke wazi kuwa haki ya mtoto wa kike atambulike ni…
Continue Reading....Iran yaipunguzia deni la mafuta Tanzania
Na Mwandishi Wetu SERIKALI ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kufuta riba yote, ya kiasi cha dola za Marekani milioni 146, ya deni ambalo…
Continue Reading....Meneja Mkuu Tigo atembelea kampuni ya Clouds Media Group
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Simu ya mikononi ya Tigo, Diego Gutierrez akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Clouds Media Group, Joseph Kusaga pichani…
Continue Reading....