MAELFU wakiwa wamefurika kwenye mkutano wa hadhara wa CCM uliofanyika kwenye VIwanja vya Jangwani, jijini Dar es Salaam. Mkutano huo ni wa kuwapongeza viongozi wa…
Continue Reading....Year: 2012
Wahitimu wa Sosholojia UDOM waahidi mabadiliko
Mgeni rasmi ambaye pia ni Mkuu mpya wa Wilaya ya Dodoma Mjini Mh Leph Gembe akiingia Ukumbini huku akisindikizwa na Mwenyekiti wa taasisi ya wanafunzi…
Continue Reading....Nadal kukutana na Djokovic fainali
BINGWA mtetezi wa taji la Tennis ya mashindano ya kila mwaka ya Ufaransa, Rafael Nadal amefuzu kwa mara ya saba mfululizo kushiriki fainali kwa kumtwanga…
Continue Reading....Afrika ina wachezaji tosha Euro 2012
MASHINDANO ya kombe la Mataifa ya Ulaya, yajulikanayo kama Euro 2012 yameanza nchini Poland na Ukraine. Mashindano haya ni kivutio kwa wachezaji nyota wanaoshiriki Ligi…
Continue Reading....Maharamia kushtakiwa Mauritious
UINGEREZA imetia saini mkataba na Mauritious kuruhusu washukiwa wa uharamia waliokamatwa na jeshi na wanamaji kupelekwa kisiwani humo kwa mashtaka. Waziri mkuu David Cameron alikutana…
Continue Reading....Rais Omar El Bashir kikwazo Malawi
SERIKALI ya Malawi, haitakuwa mwenyeji wa mkutano wa Umoja wa Afrika uliotarajiwa kufanyika mjini Lilongwe mwezi Ujao. Hatua hii imekuja baada ya malumbano kuhusu rais…
Continue Reading....