Year: 2012
Mbunge amwomba radhi Spika wa Bunge la Afrika Mashariki
Na Mark Mugisha, EANA, Arusha MBUNGE wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), Dora Byamukama wa Uganda, ameomba radhi kwa mpinzani wake na hatimaye…
Continue Reading....Siri nzito yaibuka sakata la madereva wa wabunge
SIRI nzito imeibuka sakata la madai ya madereva wa wabunge wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambapo imeelezwa kuwa wabunge wanaoogoza kuwatimu madereva…
Continue Reading....Mohammed Mursi atangazwa mshindi wa urais Misri
MURSI ameshinda kura kwa asilimia 51.7 akimshinda mpinzani wake wa karibu Ahmed Shafik kwa mujibu wa taarifa ya Tume ya Uchaguzi wa juu wa Rais.…
Continue Reading....Wanafunzi walemavu washindana Maadhimisho ya Mtoto wa Afrika
Na Mwandishi wa dev.kisakuzi.com, Mafinga WANAFUNZI wenye ulemavu anuai wilayani Mafinga wameadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika kwa kufanya mashindano katika michezo mbalimbali ili kujenga…
Continue Reading....Taarifa ya Mahakama Kuu Tanzania kusitisha mgomo wa madaktari
KUFUATIA Tangazo la Chama cha Madaktari nchini (MAT) la kuanza mgomo siku ya Jumamosi tarehe 23 Juni, 2012, Mahakama Kuu ya Tanzania, Kitengo cha kazi,…
Continue Reading....