Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2012
  • Page 255

Year: 2012

John Terry wa Chelsea matatani kwa ‘kutusi’!

Posted on: July 9, 2012 - jomushi
John Terry wa Chelsea matatani kwa ‘kutusi’!

ANTON Ferdinand ameieleza mahakama kwamba ‘ningelikerwa sana’ na matamshi ya ubaguzi wa rangi kama ningelimsikia John Terry akitamka maneno hayo. John Terry, mwenye umri wa…

Continue Reading....

Mchaka mchaka Robo Fainali Copa Coca-Cola leo

Posted on: July 9, 2012 - jomushi
Mchaka mchaka Robo Fainali Copa Coca-Cola leo

ROBO Fainali ya michuano ya Copa Coca-Cola 2012 inayokutanisha vijana wenye umri chini ya miaka 17 inaanza leo Julai 10 mwaka huu kwa timu nne…

Continue Reading....

JK ampongeza Askofu Protase Rugambwa wa Kigoma

Posted on: July 9, 2012 - jomushi
JK ampongeza Askofu Protase Rugambwa wa Kigoma

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za pongezi Askofu Protase Rugambwa wa Jimbo Katoliki la Kigoma, kwa kuteuliwa…

Continue Reading....

Mwaka mmoja wa uhuru wa Sudan Kusini

Posted on: July 9, 2012 - jomushi
Mwaka mmoja wa uhuru wa Sudan Kusini

UMETIMIA mwaka mmoja tangu Sudan Kusini ijitangaze kuwa taifa huru. Kuanzia saa sita za usiku, raia wa nchi hiyo wamekuwa wakisherehekea katika mji mkuu wa…

Continue Reading....

Wajua kuwa sasa unaweza kujipima UKIMWI nyumbani kwako?

Posted on: July 9, 2012 - jomushi
Wajua kuwa sasa unaweza kujipima UKIMWI nyumbani kwako?

MAREKANI imetangaza kuruhusu kuuzwa kwa chombo cha kupima virusi vinavyosababisha UKIMWI kwa binadamu vya HIV. Baada ya kifaa hicho maalumu cha vipimo kukubalika na kuruhusiwa…

Continue Reading....

“Fursa yenye Tija: Tafakuri ya Utumishi yangu kama Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa”- Dk. Asha – Rose Migiro

Posted on: July 9, 2012 - jomushi
“Fursa yenye Tija: Tafakuri ya Utumishi yangu kama Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa”- Dk. Asha – Rose Migiro

HAKIKA kila chenye mwanzo hakikosi mwisho, na kila mwisho wa jambo moja huwa mwanzo wa jingine. Ingawa huenda ni mapema sana kwangu kutoa tafakuri kamili…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari