Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2012
  • Page 172

Year: 2012

Makaburi ya siri yagunduliwa Tana

Posted on: September 18, 2012 - jomushi
Makaburi ya siri yagunduliwa Tana

ATHARI za ghasia za Tana River hali ya taharuki inaendelea kutanda katika eneo la Tana Delta Pwani ya Kenya ambako Polisi wanasema wamegundua makaburi mawili…

Continue Reading....

Rasimu ya Udhibiti Dawa Bandia katika Nchi za Afrika yaja

Posted on: September 18, 2012September 18, 2012 - jomushi
Rasimu ya Udhibiti Dawa Bandia  katika Nchi za Afrika yaja

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Chakula na Dawa(TFDA, Haiiti Sillo amesema kwamba kamati maalum inayoaandaa rasimu za awali ya mifumo wa kuoanisha usajili…

Continue Reading....

SHY-ROSE aichangia TAMWA Milioni 2

Posted on: September 18, 2012September 18, 2012 - jomushi
SHY-ROSE aichangia TAMWA Milioni 2

MBUNGE wa Afrika Mashariki Shy-Rose amekichangia Chama Cha Wanahabari Wanawake nchini –TAMWA jumla ya shilingi milioni mbili. Akiukabidhi mchango huo katika ofisi za TAMWA jijini…

Continue Reading....

Ligi ya Vodacom Yaingia Raundi ya Pili

Posted on: September 18, 2012September 18, 2012 - jomushi
Ligi ya Vodacom Yaingia Raundi ya Pili

MICHUANO ya Ligi Kuu ya Vodacom kuwania ubingwa wa Tanzania Bara inaingia raundi ya pili Septemba 19, 2012 kwa timu zote 14 kuumana katika viwanja…

Continue Reading....

Mtihani Mpya Darasa la Saba Haumchuji Anayejua Kusoma au Asiyejua – Walimu

Posted on: September 18, 2012 - jomushi
Mtihani Mpya Darasa la Saba Haumchuji Anayejua Kusoma au Asiyejua – Walimu

Na Joachim Mushi WAKATI wanafunzi wa darasa la Saba wakitarajia kuanza mitihani yao kesho baadhi ya walimu wa Sekondari wametoa angalizo kuwa mfumo mpya unaotarajiwa…

Continue Reading....

Mashindano ya Ngumi Taifa Yakosa Udhamini Dar

Posted on: September 18, 2012 - jomushi
Mashindano ya Ngumi Taifa Yakosa Udhamini Dar

Na Mwandishi Wetu KOCHA wa Ngumi wa Timu ya Ashanti ya Mkoa wa ILala kimichezo, Rajabu Mhamila amesikitishwa na kitendo cha Mashindano ya Taifa ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari