Na Mwandishi Maalumu, New York, Marekani MATAJIRI wawili wakubwa duniani Oktoba 2, 2012, wameichangia Tanzania kiasi cha sh. bilioni 24.1 (sawa na dola za Marekani…
Continue Reading....Year: 2012
Boko Haram Wauwa Wanafunzi 25 wa Chuo Nigeria
ZAIDI ya wanafunzi 25 wa Chuo cha Ufundi Mubi wameuawa kwa kupigwa risasi katika eneo la Mubi, Kaskazini Mashariki mwa Nigeria. Taarifa za Polisi nchini…
Continue Reading....Majeshi ya Kenya Yatangaza rasmi Kuutwaa Mji wa Kismayu
JESHI la Kenya limetangaza kuwa Mji wa Bandari wa Kismayu uliokuwa ukitawaliwa na Al-Shabaab kwa hivi sasa unadhibitiwa na majeshi ya Umoja wa Afrika pamoja…
Continue Reading....Ajali Mbaya Yatokea Mbeya Yauwa 10 na Kujeruhi 25
WATU kumi wamekufa na wengine 25 kujeruhiwa akiwemo Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Mary Mwanjelwa baada ya lori la mafuta kushindwa kushika breki na kuyagonga…
Continue Reading....Semina na Maonesho ya Twende Kufanyika Oktoba 18, 2012
Na Mwandishi Wetu JUKWAA la Wanawake Wajasiriamali Tanzania (TWENDE) linatarajia kufanya maonesho ya biashara za wajasiliamali ikiwa ni hatua ya pamoja kusaidiana na Serikali katika…
Continue Reading....