Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2012
  • Page 122

Year: 2012

Kamanda Liberatus Barlow Azikwa Kijijini Kilema, Moshi

Posted on: October 18, 2012October 18, 2012 - jomushi
Kamanda Liberatus Barlow Azikwa Kijijini Kilema, Moshi

Continue Reading....

UNICEF Yaishauri Tanzania Juu ya Sera ya Elimu

Posted on: October 18, 2012 - jomushi
UNICEF Yaishauri Tanzania Juu ya Sera ya Elimu

Na Mwandishi Wetu SERIKALI ya Tanzania imeshauriwa kuwa na sera ya mpya ya elimu kwa kuwa sera iliyopo imepitwa na wakati na inasababisha mikanganyiko. Mtaalamu…

Continue Reading....

Bondia ‘King Class Mawe’ Kuingia Kambini Kumkabili Mundi

Posted on: October 18, 2012 - jomushi
Bondia ‘King Class Mawe’ Kuingia Kambini Kumkabili Mundi

Na Mwandishi Wetu BONDIA Ibrahimu Class ‘King Class Mawe’ mwishoni mwa wiki hii anaingia kambini kujiandaa na mpambano wake mwingine baada ya mwishoni mwa wiki…

Continue Reading....

Hali ya Hewa Yachafuka Zanzibar, Maandamano ya Uamsho Yatawala

Posted on: October 18, 2012 - jomushi
Hali ya Hewa Yachafuka Zanzibar, Maandamano ya Uamsho Yatawala

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar HALI ya hewa imechafuka Mjini Zanzibar baada ya wafuasi wa kikundi cha Uamsho kufanya maandamano huku wakichoma moto na kuvamia baadhi…

Continue Reading....

Jeshi la Polisi Lamtia Mbaroni Shekh Ponda Issa Ponda, Wafuasi Wake Waandamana

Posted on: October 18, 2012 - jomushi
Jeshi la Polisi Lamtia Mbaroni Shekh Ponda Issa Ponda, Wafuasi Wake Waandamana

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limemtia mbaroni Katibu wa Jumuiya tajwa hapo juu maarufu kama PONDA ISSA PONDA kwa makosa mbali…

Continue Reading....

Push Mobile Limited Yaingia Mkataba na Kajunason Blog

Posted on: October 17, 2012 - jomushi
Push Mobile Limited Yaingia Mkataba na Kajunason Blog

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Push Mobile Limited, Bw. Freddie Manento akibadirishana mkataba na Mkurungenzi wa Kajunason Blog, Bw. Cathbert Angelo Kajuna mara baada ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari