Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2012
  • September
  • Page 18

Month: September 2012

Rais Kikwete Azindua Barabara ya Msata-Bagamoyo

Posted on: September 18, 2012September 18, 2012 - jomushi
Rais Kikwete Azindua Barabara ya Msata-Bagamoyo

NDOTO ya miaka mingi ya kujengwa kwa barabara ya Msata-Bagamoyo kwa kiwango cha lami imetimia Jumanne, Septemba 18, 2012, wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano…

Continue Reading....

Al-Shabaab waanza kutoroka Kismayo

Posted on: September 18, 2012September 18, 2012 - jomushi
Al-Shabaab waanza kutoroka Kismayo

WANAJESHI wa Kenya wakipambana na Al Shabaab huku wenyeji mjini Kismayo Somalia, wameambia BBC kuwa wapiganaji wa Al-Shabab wameanza kuondoka katika ngome yao ya mwisho…

Continue Reading....

Makaburi ya siri yagunduliwa Tana

Posted on: September 18, 2012 - jomushi
Makaburi ya siri yagunduliwa Tana

ATHARI za ghasia za Tana River hali ya taharuki inaendelea kutanda katika eneo la Tana Delta Pwani ya Kenya ambako Polisi wanasema wamegundua makaburi mawili…

Continue Reading....

Rasimu ya Udhibiti Dawa Bandia katika Nchi za Afrika yaja

Posted on: September 18, 2012September 18, 2012 - jomushi
Rasimu ya Udhibiti Dawa Bandia  katika Nchi za Afrika yaja

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Chakula na Dawa(TFDA, Haiiti Sillo amesema kwamba kamati maalum inayoaandaa rasimu za awali ya mifumo wa kuoanisha usajili…

Continue Reading....

SHY-ROSE aichangia TAMWA Milioni 2

Posted on: September 18, 2012September 18, 2012 - jomushi
SHY-ROSE aichangia TAMWA Milioni 2

MBUNGE wa Afrika Mashariki Shy-Rose amekichangia Chama Cha Wanahabari Wanawake nchini –TAMWA jumla ya shilingi milioni mbili. Akiukabidhi mchango huo katika ofisi za TAMWA jijini…

Continue Reading....

Ligi ya Vodacom Yaingia Raundi ya Pili

Posted on: September 18, 2012September 18, 2012 - jomushi
Ligi ya Vodacom Yaingia Raundi ya Pili

MICHUANO ya Ligi Kuu ya Vodacom kuwania ubingwa wa Tanzania Bara inaingia raundi ya pili Septemba 19, 2012 kwa timu zote 14 kuumana katika viwanja…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari