Month: August 2012
Watendaji wa vijiji kuwasaka wazazi wanaowaficha watoto wenye ulemavu
Na Mwandishi Wetu, Same SERIKALI wilayani Same mkoani Kilimanjaro imewataka watendaji wa kata na vijiji kuwasaka wazazi wanaoendeleza vitendo vya kikatili vya kuwaficha watoto wenye…
Continue Reading....Maunga Orphanage Center yafurahia misaada ya timu ya Simba
MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Simba SC wamehitimisha Wiki ya Simba na Jamii, kwa kutoa misaada yenye jumla ya thamani ya Sh. Milioni 1.5 katika…
Continue Reading....Wanafunzi wa darasa la tatu Korogwe wasomea uchochoroni
Na Joachim Mushi, Korogwe WANAFUNZI wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi Silabu iliyopo Wilaya ya Korogwe, mkoani Tanga wanasomea kwenye uchochoro unaotenganisha kati…
Continue Reading....Kamata kamata ya wezi kazi za wasanii Dodoma
Mkurungezi wa Kampuni ya MSAMA PROMOTION, Alex Msama pichani mwenye fulana akiwaonesha waandishi wa habari (hawapo pichani) CD za video na Audio za muziki wa…
Continue Reading....Michuano ya BancABC Super kuendelea Agost 9
MECHI za michuano ya BancABC SUP8R inayoshirikisha timu nane bora kutoka Tanzania Bara na Zanzibar zinaendelea kesho (Agosti9 mwaka huu) kwenye miji ya Dar es…
Continue Reading....