Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2012
  • May
  • Page 58

Month: May 2012

Ngorongoro Heroes kwenda Sudan Mei 2

Posted on: May 1, 2012 - jomushi
Ngorongoro Heroes kwenda Sudan Mei 2

Na Mwandishi Wetu TIMU ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 20 (Ngorongoro Heroes) inatarajia kuondoka Mei 2 mwaka huu kwenda Sudan kwa…

Continue Reading....

Wafanyabiashara wa mirungi waja na mbinu mpya

Posted on: May 1, 2012 - jomushi
Wafanyabiashara wa mirungi waja na mbinu mpya

Na Thomas Dominick, Musoma WAFANYABIASHARA wa Mirungi wemegundua mbinu mpya ya kusafirisha madawa hayo ya kulevya pamoja na dawa mbalimbali za Binadamu zilizopitwa na wakati…

Continue Reading....

Wanafamilia waandamana kuipinga Serikali ya Kijiji

Posted on: May 1, 2012May 1, 2012 - jomushi
Wanafamilia waandamana kuipinga Serikali ya Kijiji

Na Mwandishi Wetu, Arumeru WANAFAMILIA kutoka katika familia mbili tofauti kutoka Kata ya Engorora wilayani hapa jana waliandamana hadi ofisi za kijiji chao wakidai fedha…

Continue Reading....

Tanzania inahitaji Ukumbi wa kisasa wa mchezo wa masumbwi

Posted on: May 1, 2012May 1, 2012 - jomushi
Tanzania inahitaji Ukumbi wa kisasa wa mchezo wa masumbwi

Na Mwandishi wetu MCHEZO wa ngumi nchini Tanzania unazidi kushika kasi kutokana na kuchipuka kwa mabondia wengina mapromota ambao wanapigana katika kuwania mataji mbalimbali nje…

Continue Reading....

Shirikisho la Kisiasa ni dawa sahihi ya mtangamano EAC-Dk Sezibera

Posted on: May 1, 2012 - jomushi
Shirikisho la Kisiasa ni dawa sahihi ya mtangamano EAC-Dk Sezibera

Na Nicodemus Ikonko, EANA KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Dk. Richard Sezibera amesema Shirikisho la Kisiasa ni dawa (penincilini) sahihi kwa utulivu…

Continue Reading....

Warembo Ukonga na Tabata wafanya mazoezi

Posted on: May 1, 2012 - jomushi
Warembo Ukonga na Tabata wafanya mazoezi

WAREMBO wa vitongoji viwili vya Ukonga na Tabata jana walifanya mazoezi ya pamoja katika kuleta ushirikiano na kujenga urafiki baina ya warembo hao katika fani…

Continue Reading....

Posts navigation

Newer posts
thehabari