Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2012
  • May
  • Page 56

Month: May 2012

Wanafunzi 48 wanusurika kuteketea moto bwenini

Posted on: May 3, 2012 - jomushi
Wanafunzi 48 wanusurika kuteketea moto bwenini

Na Mwandishi Wetu, Moshi WANAFUNZI 48 wa kidato cha kwanza Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Lyakirimu iliyoko Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro wamenusurika kifo…

Continue Reading....

Viongozi Iringa vijijini wamulikwe kwa kuhatarisha amani

Posted on: May 3, 2012May 3, 2012 - jomushi
Viongozi Iringa vijijini wamulikwe kwa kuhatarisha amani

Na Mwandishi Wetu SERIKALI inapaswa kuchukua hatua za haraka kuelekeza viongozi wa vijiji nchini taratibu za kushughulikia migogoro ya kisheria ili kuepusha viongozi kujichukulia hatua…

Continue Reading....

Kulisuka upya Baraza la Mawaziri suluhisho la muda

Posted on: May 2, 2012May 2, 2012 - Rungwe Jr.
Kulisuka upya Baraza la Mawaziri suluhisho la muda

Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi imemwelekeza Rais Jakaya Kikwete “kusuka upya” Baraza la Mawaziri, kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa juzi. Hayo hayakuwa matazamio ya…

Continue Reading....

JK apongeza wabunge kuwasulubu mawaziri

Posted on: May 2, 2012 - Rungwe Jr.
JK apongeza wabunge kuwasulubu mawaziri

Rais Jakaya Kikwete amesema hakusikitishwa wala kufedheheshwa na mjadala wa wabunge wakati wa Mkutano wa Saba wa Bunge uliotoa mapendekezo kwa mawaziri ambao wizara zao…

Continue Reading....

Feri ya zama India watu 103 wafariki

Posted on: May 2, 2012May 2, 2012 - jomushi
Feri ya zama India watu 103 wafariki

Takriban watu 103 wanahofiwa kufariki baada ya feri walimokuwa wakisafiria kugongwa na dhoruba Kaskazini Mashariki mwa India. Polisi wamethibitisha taarifa hiyo. Taarifa zinasema kuwa feri…

Continue Reading....

Man City kileleni

Posted on: May 2, 2012 - jomushi
Man City  kileleni

Manchester City imechukua tena usukani wa ligi kuu ya England na kuongeza matumaini ya kunyakua ubingwa baada ya kuwachapa mahasimu wao Manchester United kwa 1-0.…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari