Month: May 2012
Rais Kikwete ateua mbunge mwingine
Na Mwandishi Maalumu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete Ijumaa ya Mei 4, 2012, amemteua Bi. Saada Mkuya Salum kuwa Mbunge katika…
Continue Reading....Charles Taylor miaka 8 Jela.
Waendesha mashtaka katika kesi ya rais wa zamani wa Liberia Charles Charles Taylor, wameomba adhabu ya kifungo cha miaka 8 jela itolewe dhidi yake. Bw…
Continue Reading....Sudan kusitisha Uhasama baina ya Kusini
Jamhuri ya Sudan imekubaliana na mpango wa Muungano wa Afrika (AU) wa kusitisha uhasama na Sudan Kusini, lakini imesema itajilinda iwapo itashambuliwa. Jumatano iliyopita, baraza…
Continue Reading....MWEKEAJI ANAHITAJIKA
ANAHITAJIKA MWEKEZAJI WA KUJENGA JENGO LA OFISI AU HOTELI KATIKA MKOA MPYA WA GEITA. KIWANJA KIPO KANDO YA BARABARA KUU YA MWANZA ARDHI INAUWEZO WA…
Continue Reading....JK amteua Mbatia wa NCCR-Mageuzi kuwa mbunge
Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi kuwa mbunge. Katika uteuzi huo alioufanya…
Continue Reading....