Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2012
  • May
  • Page 47

Month: May 2012

Twiga Stars kujipima kwa Zimbabwe

Posted on: May 8, 2012 - jomushi
Twiga Stars kujipima kwa Zimbabwe

TIMU ya Taifa ya wanawake (Twiga Stars) itacheza na Zimbabwe katika mchezo wa kirafiki utakaofanyika Mei 12 mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es…

Continue Reading....

Ubakaji: Madaktari waeleza namna ya kutunza ushahidi

Posted on: May 8, 2012 - jomushi
Ubakaji: Madaktari waeleza namna ya kutunza ushahidi

MADAKTARI wamewatahadharisha kwamba mtu anayebakwa kamwe asioge au kubadilisha nguo kwa sababu kufanya hivyo kunapoteza ushahidi muhimu wa kumtia hatiani kisheria mtu aliyebaka. Wamesema mtu…

Continue Reading....

Kwacha yashuka thamani kwa 50%

Posted on: May 8, 2012May 8, 2012 - jomushi
Kwacha yashuka thamani kwa 50%

WATU nchini Malawi, wamekuwa wakikimbilia kununua bidhaa muhimu , kufuatia hofu ya kupanda kwa bei ya chakula baada ya benki kuu kushusha thamani ya sarafu…

Continue Reading....

Jeshi lasitisha mapigano DRC

Posted on: May 8, 2012 - jomushi
Jeshi lasitisha mapigano DRC

JESHI limetangaza kusitisha mapigano na kuwapa waasi hadi siku ya Jumatano kujisalimisha. Jeshi nchini DRC linasema limedhibiti eneo zima la Masisi kutoka kwa waasi watiifu…

Continue Reading....

Dk. Shein atembelea miradi ya Maendeleo Unguja

Posted on: May 8, 2012 - jomushi
Dk. Shein atembelea miradi ya Maendeleo Unguja

MATUKIO MBALIMBALI KATIKA PICHA ZA ZIARA YA DK. SHEIN UNGUJA Afia Tawala wa Mkoa wa Kusini Unguja Sabri Mohamed,akisoma taarifa ya Mkoa wa Kusini Unguja,mbele…

Continue Reading....

Mkapa asimama kortini kumtetea Profesa Mahalu

Posted on: May 8, 2012May 8, 2012 - jomushi

ASEMA YEYE NDIYE ALIYEAGIZA JENGO LINUNULIWE, TARATIBU ZILIFUATWA, ASEMA ALISHANGAA KUSIKIA AMESHTAKIWA RAIS Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa jana alipanda kizimbani kumtetea Balozi…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari