TIMU ya Taifa ya wanawake (Twiga Stars) itacheza na Zimbabwe katika mchezo wa kirafiki utakaofanyika Mei 12 mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es…
Continue Reading....Month: May 2012
Ubakaji: Madaktari waeleza namna ya kutunza ushahidi
MADAKTARI wamewatahadharisha kwamba mtu anayebakwa kamwe asioge au kubadilisha nguo kwa sababu kufanya hivyo kunapoteza ushahidi muhimu wa kumtia hatiani kisheria mtu aliyebaka. Wamesema mtu…
Continue Reading....Kwacha yashuka thamani kwa 50%
WATU nchini Malawi, wamekuwa wakikimbilia kununua bidhaa muhimu , kufuatia hofu ya kupanda kwa bei ya chakula baada ya benki kuu kushusha thamani ya sarafu…
Continue Reading....Jeshi lasitisha mapigano DRC
JESHI limetangaza kusitisha mapigano na kuwapa waasi hadi siku ya Jumatano kujisalimisha. Jeshi nchini DRC linasema limedhibiti eneo zima la Masisi kutoka kwa waasi watiifu…
Continue Reading....Dk. Shein atembelea miradi ya Maendeleo Unguja
MATUKIO MBALIMBALI KATIKA PICHA ZA ZIARA YA DK. SHEIN UNGUJA Afia Tawala wa Mkoa wa Kusini Unguja Sabri Mohamed,akisoma taarifa ya Mkoa wa Kusini Unguja,mbele…
Continue Reading....Mkapa asimama kortini kumtetea Profesa Mahalu
ASEMA YEYE NDIYE ALIYEAGIZA JENGO LINUNULIWE, TARATIBU ZILIFUATWA, ASEMA ALISHANGAA KUSIKIA AMESHTAKIWA RAIS Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa jana alipanda kizimbani kumtetea Balozi…
Continue Reading....