Month: May 2012
Kadi za CHADEMA zagombewa Same
Na Tumainiel Seria KADI za Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jana ziligombewa na wananchi wa Wilaya ya Same wanaohudhuria mikutano ya chama hicho kwa…
Continue Reading....Wanamasumbwi waguswa kifo cha Rachel Mwiligwa
KAMPUNI ya Big Right Promotion kupitia kwa Mkurugenzi wake Ibrahim Kamwe imepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha Mhariri wa Michezo wa gazeti la Mtanzania,…
Continue Reading....Timu ya Tanzania DMV kuchuana vikali na Ethiopia Kundi ‘B’
Na Abou Shatry KATIKA mchezo wa lingi ya 2011 Diaspora World Cup zinazoendelea katika viwanja vya Hyattsville na Germantown jijini Maryland Nchini Marekani, timu ya…
Continue Reading....Polisi wamtwanga risasi ‘jambazi’
Na Thomas Dominick wa Binda News-Musoma MTU mmoja anayejulikana kwa jina la Duke Mkama (27) Mkazi wa Kijiji cha Katario, Tarafa ya Makongoro, Musoma Vijijini…
Continue Reading....Wataka mawaziri wafilisiwe
Sasa kampeni inapigwa ili mali za mawaziri waliofutwa kazi zifilisiwa kama watakutwa na hatia mahakamani. Huo ni wito wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha…
Continue Reading....