Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2012
  • May
  • Page 35

Month: May 2012

Simba wapigwa 12 kwa 11 na Al Ahly Shandy

Posted on: May 14, 2012May 14, 2012 - jomushi
Simba wapigwa 12 kwa 11 na Al Ahly Shandy

Na Mwandishi Wetu TIMU ya Simba SC jana usiku imeondolewa kushiriki kombe la Shirikisho la Soka Afrika, baada ya kukubali kichapo cha mabao 12 kwa…

Continue Reading....

Mwanahabari Rachel Mwiligwa azikwa

Posted on: May 14, 2012 - jomushi
Mwanahabari Rachel Mwiligwa azikwa

Na Mwandishi Wetu ALIYAKUWA Mhariri wa Michezo wa Gazeti la Mtanzania, Rachel Mwiligwa linalochapishwa na kampuni ya New Habari (2006) Ltd ya jijini Dar es…

Continue Reading....

majadiliano ya amani yazidi kuzorota- Afghanistan

Posted on: May 14, 2012May 14, 2012 - jomushi
majadiliano ya amani yazidi kuzorota- Afghanistan

Watu wenye silaha wamempiga risasi na kumuua mjumbe wa ngazi ya juu wa majadiliano ya amani na kiongozi wa zamani wa Taliban mjini Kabul jana…

Continue Reading....

Kamanda wa LRA akamatwa

Posted on: May 14, 2012 - jomushi
Kamanda  wa LRA akamatwa

Jeshi la Uganda linasema kuwa limemkamata afisa mwandamizi wa kundi la wapiganaji la LRA – kundi ambalo limekuwa likiwauwa na kuwateka nyara watu Afrika mashariki…

Continue Reading....

Manchester City yarudisha heshma Ligi ya England

Posted on: May 14, 2012 - jomushi
Manchester City yarudisha heshma Ligi ya England

Manchester City ikifunga mabao mawili zikiwa zimesalia dakika mbili za nyongeza mpira kumalizika, wamefanikiwa kuunyakua ubingwa wa Ligi Kuu ya Kandanda ya England kwa kuwalaza…

Continue Reading....

Wenye ulemavu waomba kutosahaulika Sensa ya makazi 2012

Posted on: May 14, 2012May 14, 2012 - jomushi
Wenye ulemavu waomba kutosahaulika Sensa ya makazi 2012

VITENDO vya baadhi ya wazazi katika wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro kuwaficha ndani watoto wenye ulemavu, vimeelezewa kuwa tatizo kubwa ambalo linaweza kukwamisha zoezi la…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari