LICHA ya Serikali kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kutangaza kuwa imefuta michango kedekede ya shule za msingi ili kuwawezesha wanafunzi wote kupata…
Continue Reading....Month: May 2012
Miss East Africa 2012; Ethiopia yatoa mshiriki
WAREMBO watakaoziwakilisha nchi zao katika mashindano ya Miss East Africa mwaka huu wanaendelea kupatikana kutoka katika nchi mbalimbali zinazoshiriki mashindano hayo. Mrembo mwingine aliyeingia fainali…
Continue Reading....Pakistan kuifungua tena njia ya misafara ya NATO
WAZIRI wa Mambo ya Nchi za Nje wa Pakistan amesema wakati umewadia kufungua njia ya misafara ya NATO kuelekea Afghanistan, akisema Serikali imetoa ujumbe unaoeleweka…
Continue Reading....IAEA kukagua Kituo cha Kijeshi cha Iran
SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Kudhibiti Matumizi ya Nishati ya Nyuklia (IAEA) limesema litaishinikiza Iran iwaruhusu wakaguzi kuingia kwenye kituo chake cha kijeshi, ambacho…
Continue Reading....Wafungwa wa Kipalestina waongeza masharti
WAFUNGWA wa Kipalestina walio katika mgomo wa kutokula wameongeza masharti zaidi ili kusitisha mgomo wao unaowahusisha wafungwa 1,550 na mahabusi wawili unaoendelea kwa siku ya…
Continue Reading....Shehena ya silaha yanaswa DRC
SHEHENA silaha imenaswa Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo katika shamba linalomilikiwa na mbabe wa kivita wa zamani Jenerali Bosco Ntaganda. Kwa mujibu wa…
Continue Reading....