MCHEZAJI wa timu ya Taifa ya Rwanda (Amavubi) na timu ya Simba Patrick Mutesa Mafisango (32), amefariki dunia jana alfajiri kwa ajari ya gari. Amepata…
Continue Reading....Month: May 2012
TFF wamlilia Patrick Mafisango
Na Mwandishi Wetu SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko kifo cha mchezaji wa Simba na timu ya Taifa ya Rwanda (Amavubi),…
Continue Reading....Kuiona Twiga Stars Banyana Banyana buku tu
KIINGILIO kwenye mechi ya kirafiki ya kimataifa kati ya timu ya Taifa ya wanawake (Twiga Stars) na Afrika Kusini (Banyana Banyana) itakayochezwa Jumalipi (Mei 20…
Continue Reading....Wangaalizi wa amani hatarini nchini Syria
WAANGALIZI wa Umoja wa Mataifa nchini Syria wameondolewa katika mji wa Khan Sheikhoun, kaskazini mwa nchi hiyo siku moja baada ya msafara wao kupigwa na…
Continue Reading....Mhadhiri anaswa na mtambo wa vyeti bandia
JESHI la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, linamhoji mhadhiri wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Ushirika na Biashara Moshi (Muccobs), kwa tuhuma za kukutwa na vyeti vya…
Continue Reading....Watoto 150 wajumuishwa Jeshini-DRC
JENERALI aliyehasi jeshini, Bosco Ntaganda ambae anasakwa na Mahakama ya Kimatiafa ya Jinai -ICC bado anadaiwa kuingiza idadi kubwa ya watoto katika jeshi lake. Shirika…
Continue Reading....