Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2012
  • May
  • Page 19

Month: May 2012

Polisi Arusha wataka wananchi kutojichukulia hatua mkononi

Posted on: May 22, 2012 - jomushi
Polisi Arusha wataka wananchi kutojichukulia hatua mkononi

Na Mwandishi Wetu, Arusha JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha limewataka wananchi kuacha kujichukulia sheria mkononi, baada ya watu watatu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi kuuwawa…

Continue Reading....

KIDT yakabiliwa na changamoto lukuki

Posted on: May 22, 2012 - jomushi
KIDT yakabiliwa na changamoto lukuki

Na Mwandishi wetu, Kilimanjaro KITUO cha Maendeleo ya Viwanda mkoani Kilimanjaro (KIDT) kinakabiliwa na uchakavu wa mashine na ukosefu wa mitaji hali inayosababisha kituo kishindwe…

Continue Reading....

Nato kukabidhi jukumu la ulinzi Afghanstan 2013

Posted on: May 22, 2012 - jomushi
Nato kukabidhi jukumu la ulinzi Afghanstan 2013

JUMUIYA ya kujihami ya NATO imesema kuwa itakabidhi jukumu la ulinzi wa Afghanistan kwa nchi hiyo katikati ya 2013 pamoja na kutangaza kuanza mfumo wake…

Continue Reading....

Polisi “kazi ipo Kesi ya Terre’blanche leo”

Posted on: May 22, 2012 - jomushi
Polisi “kazi ipo Kesi ya Terre’blanche leo”

POLISI wameimarisha doria katika mji wa Ventersdorp, nchini Afrika Kusini ambapo mahakama inasubiriwa kutoa hukumu kwa vijana wawili wa Kiafrika wanaotuhumiwa kumuua Eugene Terre’ Blanche…

Continue Reading....

RC Musoma “wabaneni mawakala wa pembejeo wasio waaminifu”

Posted on: May 22, 2012 - jomushi
RC Musoma “wabaneni mawakala wa pembejeo wasio waaminifu”

Na mwandishi wetu, Musoma MKUU wa Mkoa wa Mara John Tuppa amewataka watendaji ndani ya Mkoa huo kuwabana mawakala wa ruzuku za pembejeo za kilimo…

Continue Reading....

Dk. Shein akutana na uongozi wa Wizara zenye tija

Posted on: May 22, 2012May 22, 2012 - jomushi
Dk. Shein akutana na uongozi wa Wizara zenye tija

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Kilimo na Maliasili,katika utekelezaji wa mpango wa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari