Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2012
  • May
  • Page 17

Month: May 2012

Waziri Wasira azomewa

Posted on: May 23, 2012 - Rungwe Jr.
Waziri Wasira azomewa

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu), Stephen Wasira, amejikuta katika wakati mgumu kwa kuzomewa na kuulizwa maswali magumu na wananchi wa jimbo…

Continue Reading....

Binti asimulia mamaye alivyouawa kinyama

Posted on: May 23, 2012 - Rungwe Jr.
Binti asimulia mamaye alivyouawa kinyama

Ni ukatili usioelezeka, ni kukosa hata chembe ya ubinadamu, hii ni simulizi ya kutisha ya binti aliyeshuhudia mama yake akicharangwa mapanga kutokana na imani za…

Continue Reading....

Mbunge “Profesa Maji Marefu” alazwa India

Posted on: May 23, 2012 - Rungwe Jr.
Mbunge “Profesa Maji Marefu” alazwa India

Mbunge wa Korogwe Vijijini (CCM), Stephen Ngonyani, maarufu kama ‘Profesa Majimarefu’, amelazwa hospitalini nchini India baada ya afya yake kubadilika. Habari kutoka Ofisi Ndogo za…

Continue Reading....

Hakuna dalili ya makubaliano Iran na IAEA

Posted on: May 23, 2012May 23, 2012 - jomushi
Hakuna dalili ya makubaliano Iran na IAEA

MAZUNGUMZO baina ya Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Nguvu za Atomiki IAEA Yukia Amano na Viongozi wa Iran, kuhusu mpango wa nyuklia wa nchi…

Continue Reading....

Uchaguzi huru kunafanyika Misri

Posted on: May 23, 2012May 23, 2012 - jomushi
Uchaguzi huru kunafanyika Misri

RAIS wa Misri wanajianda kushiriki katika uchaguzi wa kwanza huru tangu mapinduzi ya kiraia yaliomuondoa Rais Hosni Mubarak mamlakani miezi 15 iliopita. Watu milioni 50…

Continue Reading....

Makala kutatua mgogoro wa ardhi kinyenze

Posted on: May 23, 2012 - jomushi
Makala kutatua mgogoro wa ardhi kinyenze

Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla ( aliyesimama na kunyosha mkono juu) akisisitiza jambo juu ya namna ya kutafuta muakafa ili kumalizwa kwa mgogoro…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari