WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amezitaka kampuni na taasisi zinazohusika na kutoa huduma muhimu katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwl. Julius Kambarage Nyerere ziharakishe…
Continue Reading....Month: March 2012
Waziri azindua akaunti ya Twiga Stars kupitia Tigo Pesa
NAIBU Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara leo, Machi 10 mwaka huu amechangia sh. milioni moja kwenye uzinduzi wa akaunti ya…
Continue Reading....Bunge lakabidhiwa nyumba ya Spika
Muonekano wa nyumba hiyo kwa mbele. Jengo hili ambalo litakuwa makazi ya Spika yeyote atakayeliongoza Bunge la Tanzania lilianza kujengwa Disemba 2009 na limegharimu takriban…
Continue Reading....Madaktari wamtii JK, wasitisha mgomo rasmi
MADAKTARI nchini Tanzania wamesitisha mgomo wao mara moja ikiwa ni baada ya kufanya mazungumzo na Rais wa Tanzania, Jakaya Kikwete na kuwasilisha madai yao, huku…
Continue Reading....Wafanyakazi Tazara wasitisha mgomo
Na Joyce Ngowi WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli Tanzania na Zambia (TAZARA) wamesitisha mgomo baada ya Waziri wa Uchukuzi Omari Nundu kusikiliza kilio chao sugu…
Continue Reading....