MSHAMBULIAJI, Michael Victor Mgimwa ameombewa Hati ya Uhamisho wa Kimataifa (ITC) ili acheze soka nchini Thailand. Chama cha Mpira wa Miguu cha Thailand (FAT) limetuma…
Continue Reading....Month: February 2012
Yanga kuonja sukari ya Mtibwa?
Na Mwandishi Wetu LIGI Kuu ya Vodacom ambayo iko katika raundi ya 16 inaendelea kesho kwa mechi moja kati ya Yanga na Mtibwa Sugar. Mechi…
Continue Reading....Hakimu Arusha atishia ‘kuifuta’ kesi ya Lema
Na Mwandishi Wetu, Arusha HAKIMU Judith Kamala anayesikiliza kesi inayomkabili Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (CHADEMA) na wafuasi 18 wa Chama hicho, amemuonya Mwendesha…
Continue Reading....Fistula inatibika, toa kwa moyo kumuokoa mama na mtoto
Na Mwandishi Wetu THAMANI ya mwana aijuae mzazi, Wote tumezaliwa na hivyo wote ni watoto. Zaidi ya wanawake 3,000 nchini hupatwa na tatizo la Fistula…
Continue Reading....Asha Baraka aanzisha taasisi ya kuvumbua vipaji vya ‘dansi’
MKURUGENZI wa Kampuni ya The African Stars Entertainment (ASET), Asha Baraka, ameanzisha taasisi ya kuvumbua vipaji itakayojulikana kwa jina la Twanga Academia. Akizungumza na Waandishi…
Continue Reading....