IRAN inasema imefanya jaribio la kurusha kombora la masafa ya wastani. Jaribio hilo lilifanywa wakati wa mazoezi ya jeshi karibu na Hormuz, mlango unaounganisha Ghuba…
Continue Reading....Month: January 2012
Dk. Shein ahaidi neema 2012 kwa Wazanzibar
Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) mwaka 2012 imeahidi kuimarisha miundombinu na ubora wa huduma za jamii zikiwemo elimu, afya na…
Continue Reading....Shambulio la Garissa Al-shabaab wausishwa watano wauwawa
WATU WATANO wameuwawa na zaidi ya 20 kujeruhiwa kwenye klabu ya starehe mjini Garissa, kaskazini-mashariki mwa Kenya. Washambuliaji walirusha maguruneti kwenye klabu hiyo na kisha…
Continue Reading....Katibu Mkuu Kiongozi aapishwa na Rais Kikwete Ikulu
RAIS wa Tanzania akimuapisha Katibu Mkuu Kiongozi Mpya, Balozi Ombeni Sefue kushikilia nafasi hiyo. Kuapishwa kwa Balozi Sefue ni kunakamilisha kazi ya Rais Jakaya Kikwete…
Continue Reading....JK awateua makatibu wakuu wizara anuai
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, Desemba 30, 2011, alifanya uteuzi wa Makatibu Wakuu na Naibu Katibu Mkuu na pia amefanya uhamisho…
Continue Reading....