Na Mwandishi Maalumu KAMPUNI ya Home Shopping Centre (HSC) imeahidi kujenga kituo cha polisi, vyomba 14 vya madarasa ofisi za walimu na chumba cha kulia…
Continue Reading....Month: January 2012
Hotuba ya Dk Slaa akihutubia wananchi Mbeya
Tafadhali bofya hapa:- http://mbeyayetu.blogspot.com/2012/01/sikiliza-hotuba-ya-dkt-slaa-alipokuwa.html
Continue Reading....CHADEMA wapoteza mbunge ajalini leo
MBUNGE wa Viti Maalumu kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Rejea Mtema amefariki dunia leo asubuhi kwa ajali mkoani Pwani. Taarifa ambazo mtandao…
Continue Reading....Rais Kikwete atembelea Magwepande, Nyika aja juu
Na Joachim Mushi RAIS Jakaya Kiwete jana ametembelea ziara katika eneo la Magwepande nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam na kukagua miundombinu katika…
Continue Reading....TFF yawapa ITC Samata, Ochan na Usajili Yanga, Simba wapita CAF
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetoa Hati ya Uhamisho wa Kimataifa (ITC) kwa wachezaji Mbwana Samata na Patrick Ochan waliojiunga na timu ya…
Continue Reading....Polisi wamuua jambazi aliyeua askari Arusha
*Wengine wanne washikiliwa na Polisi Janeth Mushi, Arusha JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha limemuua mtuhumiwa anayesadikiwa ni jambazi, Pokea Samson Kaaya maarufu kama ‘Kaunda’…
Continue Reading....