Na Joyce Ngowi MWANAHARAKATI wa Kimataifa kutoka nchini Ghana, Profesa Dzodzi Tsikata ameishauri Serikali ya Tanzania kuacha utegemezi wa misaada midogo yenye masharti magumu na…
Continue Reading....Month: September 2011
‘Ndugu zangu 32 walikufa nikiwaona’
Zanzibar MAHARUSI watarajiwa, waliokuwa wakienda kufunga ndoa katika Kisiwa cha Pemba mjini Zanzibar, ni miongoni mwa watu ambao wanasadikiwa kuwa miili yao imenasa katika meli…
Continue Reading....Hizi ndizo faida za kusomesha watoto wa kike
Na HakiElimu JIULIZE, kati ya mwanaume na mwanamke aliyesoma; ni nani huwakumbuka wazazi wake zaidi? Ni nani hajali watoto na familia yake zaidi? Ni nani…
Continue Reading....JK ashiriki dua ya kuwaombea waliokufa ajali ya meli Zanzibar
RAIS wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete leo ameshiriki katika dua ya pamoja kuwaombea marehemu waliofariki dunia katika ajali ya Meli ya Mv. Spice Islanders iliyotokea…
Continue Reading....Waokoaji kutoka Afrika Kusini wawasili Tanzania
Na Mohammed Mhina, wa Polisi Zanzibar WAPIGAMBIZI 12 toka nchini Afrika ya Kusini, wamewasili usiku wa kuamkia leo mjini Zanzibar kuungana na wazamiaji wengine wa…
Continue Reading....