RAIS wa Ufaransa Nicholas Sarkozy na Chansela wa Ujerumani Angela Merkel wametoa mapendekezo mapya kukabiliana na mgogoro wa kiuchumi unaokabili mataifa yanayotumia sarafu ya Euro.…
Continue Reading....Month: August 2011
Stars, kuikaribisha Algeria Mwanza
MECHI ya mchujo ya kuwania tiketi ya kucheza fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (CAN) zitakazofanyika mwakani nchini Equatorial Guinea na Gabon kati ya…
Continue Reading....Uefa wamkalia kooni Wenger
ARSENE Wenger huenda akakabiliwa na hatua zaidi za nidhamu kutoka Uefa baada ya kuthibitishwa mawasiliano yake na benchi la ufundi la Arsenal yanachunguzwa. Wenger alikuwa…
Continue Reading....Misaada yazidi kumiminika Somalia
Jumuiya ya nchi za kiislamu imeahidi kutoa msaada wa dola milioni 350 kuwasaidia waathiriwa wa baa la njaa nchini Somalia. Ahadi ya msaada…
Continue Reading....Maelfu waandamana kupinga ufisadi India
Maelfu ya raia wa India wamejitokeza mitaani kumunga mkono mwanaharakati wa kupinga ufisadi Anna Hazare wakiwa na mabango yaliyoikemea na kuishinikiza Serikali imwachie huru. Mwanaharakati…
Continue Reading....