Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2011
  • July
  • Page 43

Month: July 2011

Umoja wa wake wa marais wa Afrika watakiwa kupunguza vifo vya kinamama wajawazito na watoto

Posted on: July 1, 2011July 2, 2011 - Rungwe Jr.
Umoja wa wake wa marais wa Afrika watakiwa kupunguza vifo vya kinamama wajawazito na watoto

Na Anna Nkinda – Malabo, Equatorial Guinea Muungano wa Wake wa Marais wa Afrika wa Kupambana na Maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (OAFLA) umetakiwa kuhakikisha…

Continue Reading....

Bunduki haiwezi kumaliza matatizo yetu – JK

Posted on: July 1, 2011 - Rungwe Jr.
Bunduki haiwezi kumaliza matatizo yetu – JK

Malabo, Equatorial Guinea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameziambia Sudan na Sudan Kusini kuwa bunduki haiwezi kutoa majawabu ya…

Continue Reading....

Kikwete:Ukosefu wa ajira kwa vijana wa Afrika ni bomu linalosubiri kulipuka!

Posted on: July 1, 2011July 1, 2011 - Rungwe Jr.
Kikwete:Ukosefu wa ajira kwa vijana wa Afrika ni bomu linalosubiri kulipuka!

Malabo, Equatorial Guinea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa ukosefu mkubwa wa ajira na nafasi za kujiendeleza kwa…

Continue Reading....

Rais Kikwete aombwa kuendelea kuongoza ALMA

Posted on: July 1, 2011July 1, 2011 - Rungwe Jr.
Rais Kikwete aombwa kuendelea kuongoza ALMA

Malabo, Equatorial Guinea Viongozi  wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) wamemwomba Rais Jakaya Mrisho Kikwete kuendelea kuongoza umoja wa wakuu hao unaopambana na…

Continue Reading....

Mh. Kikwete in Malabo for AU Summit

Posted on: July 1, 2011 - Rungwe Jr.
Mh. Kikwete in Malabo for AU Summit

Malabo, Equatorial Guinea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Alhamisi, Juni 30, 2011, alikuwa miongoni mwa viongozi wa Serikali…

Continue Reading....

India mbioni kudhibiti idadi ya watu

Posted on: July 1, 2011 - jomushi
India mbioni kudhibiti idadi ya watu

MPANGO huo mpya wa uzazi unanuia kuwashawishi wanawake na wanaume kukubali njia ya kumaliza kabisa nguvu za mayai ya uzazi. Wanaokubali watapokea zawadi ya gari…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari