Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2011
  • July
  • Page 33

Month: July 2011

Irente yaiomba Serikali kuchapisha vitabu kwa wenye uono afifu

Posted on: July 7, 2011 - jomushi
Irente yaiomba Serikali kuchapisha vitabu kwa wenye uono afifu

JOACHIM MUSHI Lushoto SHULE ya msingi ya wanafunzi wasioona ya Irente mjini Lushoto imeitaka wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kuanza kuchapisha vitabu maalum…

Continue Reading....

Chadema ‘kumshtaki’ Chenge kwa wananchi

Posted on: July 7, 2011 - jomushi
Chadema ‘kumshtaki’ Chenge kwa wananchi

Andrew Chenge (MB) Na Mwandishi wa Thehabari, Dodoma MBUNGE wa Singida Mashariki, Tindu Lissu (CHADEMA), amesema Serikali isipomfikisha Mahakamani aliyekuwa, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Andrew…

Continue Reading....

JK ndani ya banda la Twiga Bancorp Saba Saba

Posted on: July 7, 2011July 7, 2011 - jomushi
JK ndani ya banda la Twiga Bancorp Saba Saba

Continue Reading....

Serikali kugharamia utafiti juu ya kinga ya Ukimwi

Posted on: July 7, 2011 - jomushi
Serikali kugharamia utafiti juu ya kinga ya Ukimwi

Na Joachim Mushi RAIS Jakaya Kikwete amesema Serikali ipo tayari kufadhili utafiti wa kinga ya Virusi vya Ugonjwa wa Ukimwi (VVU), inayoendeshwa na Chuo Kikuu…

Continue Reading....

JK aofia dawa ya Babu wa Loliondo kutoweka

Posted on: July 7, 2011 - jomushi
JK aofia dawa ya Babu wa Loliondo kutoweka

Na Joachim Mushi RAIS Jakaya Kikwete ameiagiza Idara ya Elimu ya Mimea kuhakikisha mmea aina ya mgarika (sonjo) ambao unatumiwa na Mchungaji mstaafu wa Kanisa…

Continue Reading....

Comprint International Ltd ndani ya maonesho ya Saba Saba

Posted on: July 7, 2011 - jomushi
Comprint International Ltd ndani ya maonesho ya Saba Saba

Gari la wagonjwa aina ya bajaji lililotengenezwa kisasa likiwa na uwezo mkubwa wa kuhimili miundombinu duni ya barabara maeneo ya vijijini, gari linalotengenezwa nchini Tanzania…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari