Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2011
  • June
  • Page 33

Month: June 2011

Wasichana wakamatwa wapimwa bikra Misri

Posted on: June 2, 2011 - jomushi
Wasichana wakamatwa wapimwa bikra Misri

Shirika la kutetea haki za binaadam la Amnesty International limeitaka serikali ya Misri kufanya uchunguzi kamili baada ya maofisa wa juu wa kijeshi kukiri kuwa…

Continue Reading....

Oxfam yaja na kampeni mpya ya ‘otesha’

Posted on: June 1, 2011 - jomushi
Oxfam yaja na kampeni mpya ya ‘otesha’

OTESHA ni kampeni mpya ya Oxfam ya juu ya njia bora za kuotesha, kugawana na kuishi pamoja. Ni kampeni yetu sote, mabilioni ya watu tunaokula…

Continue Reading....

Mrwanda, Kassim waitwa stars, wazuiliwa kuja

Posted on: June 1, 2011 - jomushi
Mrwanda, Kassim waitwa stars, wazuiliwa kuja

WACHEZAJI Dan Mrwanda na Abdi Kassim ni miongoni mwa wachezaji saba wanaocheza mpira wa kulipwa nje ya nchi walioitwa na kocha wa Taifa Stars, Jan…

Continue Reading....

TFF yataja viingilio Nigeria Vs Tanzania U 23

Posted on: June 1, 2011 - jomushi
TFF yataja viingilio Nigeria Vs Tanzania U 23

Mechi ya kwanza ya mchujo ya michuano ya Olimpiki kati ya timu ya Taifa ya Tanzania kwa vijana wenye umri chini ya miaka 23 dhidi…

Continue Reading....

Mgogoro UVCCM Arusha, wenyeviti wilaya watoa tamko

Posted on: June 1, 2011 - jomushi
Mgogoro UVCCM Arusha, wenyeviti wilaya watoa tamko

Na Janeth Mushi, Arusha IKIWA zimepita siku chache tangu makundi mawili ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Arusha kufanya maandamano…

Continue Reading....

Dk. Shein ataka ubakaji utafutiwe ufumbuzi

Posted on: June 1, 2011 - admin
Dk. Shein ataka ubakaji utafutiwe ufumbuzi

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameutaka uongozi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja kulitafutia ufumbuzi wa haraka tatizo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari