Blogs Tanzania | News |  Michuzi ya Habari leo

 

Super ‘D’ Agawa Ujuzi wa Mchezo wa Masumbwi kwa Vijana

Kocha wa Mchezo wa Masumbwi nchini, Rajabu Mhamila ‘Super D’ akimwelekeza bondia Ibrahimu Class ‘King Class Mawe’ jinsi yakupangua ngumi za mpinzani wakati wa mazoezi yaliyofanyika ufukwe wa Gym Khana Dar es Salaam jana.

Kocha wa Mchezo wa Masumbwi nchini Rajabu Mhamila ‘Super D’ akimwelekeza bondia Ibrahimu Class ‘King Class Mawe’ jinsi kupiga ngumi za tumbo huku akiwa ameingia ndani kwa mashambulizi zaidi wakati wa mazoezi yaliyofanyika ufukwe wa Gym Khana Dar es Salaam jana.

Short URL: http://www.thehabari.com/?p=24886

Posted by on Nov 19 2012. Filed under Burudani. You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0. You can leave a response or trackback to this entry

Leave a Reply

*

 

 

Log in |

 

Google+