Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Vijijini
  • Page 13

Category: Habari za Vijijini

Serikali Yaombwa Kudhibiti Utengenezaji Pombe Kienyeji

Posted on: July 12, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Utengenezaji Pombe Kienyeji
Serikali Yaombwa Kudhibiti Utengenezaji Pombe Kienyeji

Na Mwandishi Wetu, Rombo SERIKALI imeombwa kudhibiti utengenezaji holela wa pombe za kienyeji katika Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro ambao umekuwa hauzingatii afya ya mtumiaji.…

Continue Reading....

Watoto Nkasi Waajiriwa kwa Ujira wa Ndama kwa Mwaka

Posted on: May 27, 2014 - jomushi
Post Tags: Ajira kwa Watoto Nkasi, featured
Watoto Nkasi Waajiriwa kwa Ujira wa Ndama kwa Mwaka

Na Joachim Mushi, Nkasi BAADHI ya watoto Wilaya ya Nkasi, Mkoa wa Rukwa hasa maeneo ya vijijini wamekuwa wakiajiriwa na familia za kifugaji kwa ujira…

Continue Reading....

Madiwani Wawabana Watendaji wa Vijiji na Kata Rombo

Posted on: May 25, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Madiwani Rombo kiboko
Madiwani Wawabana Watendaji wa Vijiji na Kata Rombo

BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Rombo limetoa utaratibu mpya wa kuwabana watendaji wa vijiji na kata wasio toa taarifa za mapato na…

Continue Reading....

Mipango ya Wanajamii ni Muhimu Katika Kusimamia Wanyamapori – UNDP

Posted on: May 10, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Wanyamapori
Mipango ya Wanajamii ni Muhimu Katika Kusimamia Wanyamapori – UNDP

KIONGOZI wa UNDP aliyeko ziarani nchini Tanzania, Helen Clark, amesema usimamizi wa maliasili unaoshirikisha jamii ni ufumbuzi wa muda mrefu na wenye ufanisi zaidi kwa…

Continue Reading....

Walimu Wapya Wilaya ya Handeni Waonja Joto ya Jiwe

Posted on: May 8, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Walimu Msingi
Walimu Wapya Wilaya ya Handeni Waonja Joto ya Jiwe

Na Joachim Mushi WAAJIRIWA wapya wa fani ya ualimu wa shule za msingi katika Wilaya ya Handeni, Mkoa wa Tanga wameanza kazi kwa kuonja machungu…

Continue Reading....

Wananchi waomba Kituo cha Afya Simambwe Kufanya Kazi Saa 24

Posted on: May 1, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Kituo cha Afya
Wananchi waomba Kituo cha Afya Simambwe Kufanya Kazi Saa 24

Na Joachim Mushi, Tembela, Mbeya WANANCHI wa Kata ya Tembela Wilaya ya Mbeya Vijijini wameiomba Serikali kusaidia kukiwezesha Kituo cha Afya Simambwe ili kifanye kazi…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari