Wadau, kumradhi kwani huu wosia (ufuatao hapo chini) wa “Lady Jay Dee” ulitolewa week Kandhaa zilizopita, ila kwa sabubu moja au nyingine, haukuweza kutufikia mitamboni…
Continue Reading....Month: June 2013
Mpambano wa Ngumi wa Vunja Jungu…!
KAA tayari kwa mpambano wa ngumi wa aina yake ambapo Juni 30, 2013 ikiwa ni wiki ya mwisho kabla ya mwezi wa ramadhan mpambano huo…
Continue Reading....Watoto Yatima Kujumuika Katika Tamasha ‘Raha za Jana na Leo’
Watoto Yatima Kujumuika Katika Tamasha ‘Raha za Jana na Leo’ WATOTO Yatima wa Kituo cha Ngeze, (Ngeze Education Center) kilichopo maeneo ya Kinondoni kwa…
Continue Reading....Sifa United Yaiadhibu Mtakuja 5-2 Airtel Rising Stars
BAADA ya kubamizwa 3-1 na Makumbusho United siku ya Jumapili Sifa United ya Manzese jana ilisahihisha makosa yake na kuiadihbu Mtakuja Beach 5-2 katika michuano…
Continue Reading....Marekani Yatoa Onyo Kali kwa Msafara wa Rais Obama Dar
LICHA ya ujumbe wa Rais wa Marekani, Barrack Obama kutarajiwa kufikia katika hoteli kubwa zenye hadhi wakati kiongozi huyo atakapowasili nchini Julai Mosi mwaka huu,…
Continue Reading....Wabunge Waridhia Bajeti ya Serikali
BUNGE limepitisha Bajeti ya Serikali ya Sh18.2 trilioni iliyowasilishwa na Waziri wa Fedha, Dk William Mgimwa katika Bunge la Bajeti linaloisha mwishoni mwa wiki hii.…
Continue Reading....