Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2013
  • May
  • Page 14

Month: May 2013

Shule za Kata Zajiendesha kwa Fedha za Walimu Wakuu

Posted on: May 23, 2013 - jomushi
Shule za Kata Zajiendesha kwa Fedha za Walimu Wakuu

Na dev.kisakuzi.com, Rombo CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT), Wilaya ya Rombo kimesema shule nyingi za Sekondari za Kata wilaya hiyo na maeneo mengine nchini zinajiendesha kwa…

Continue Reading....

Benki ya Dunia Kutoa Bil 1 Kusaidia Nchi za Maziwa Makuu

Posted on: May 23, 2013 - jomushi
Benki ya Dunia Kutoa Bil 1 Kusaidia Nchi za Maziwa Makuu

BENKI Kuu ya Dunia itatoa dola bilioni 1 kusaidia maendeleo ya eneo la maziwa makuu. Rais wa Benki hiyo Jim Yong Kim ameyasema hayo mjini…

Continue Reading....

Ghasia Kubwa Zazuka Mtwara Tena

Posted on: May 23, 2013 - jomushi
Ghasia Kubwa Zazuka Mtwara Tena

HALI ya usalama mkoani Mtwara ni tete. Mtu mmoja anaaminika kufariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa kutokana na vurugu kubwa zilizozuka jana huko Mtwara baada…

Continue Reading....

Afrika Kusini Kuamua Mechi ya Taifa Stars Vs Morocco

Posted on: May 23, 2013 - jomushi
Afrika Kusini Kuamua Mechi ya Taifa Stars Vs Morocco

SHIRIKISHO la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) limemteua mwamuzi kutoka Afrika Kusini kuchezesha mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia, Kanda ya Afrika kati…

Continue Reading....

Mwalimu Nyerere Akumbukwa kwa Mchango Wake Afrika

Posted on: May 23, 2013 - jomushi
Mwalimu Nyerere Akumbukwa kwa Mchango Wake Afrika

Na Hassan Abbas, Addis Ababa WAKATI Umoja wa Afrika (AU) ukitimiza miaka 50 na Mpango wa Afrika Kujitaghmini Kiutawala Bora (APRM) ukitimiza miaka 10, viongozi…

Continue Reading....

Chissano Akemea ‘Urais wa Maisha’ Afrika

Posted on: May 22, 2013 - jomushi
Chissano Akemea ‘Urais wa Maisha’ Afrika

Na Hassan Abbas RAIS Mstaafu wa Msumbiji, Joachim Chissano amewataka viongozi wa sasa wa Bara la Afrika kuwa tayari kutetea na kuenzi misingi ya utawala…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari