MMOJA wa waasi wa Sudan anayeshtakiwa na Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu, ICC, kwa makosa ya uhalifu wa kivita katika Jimbo la Darfur ameuawa, kwa…
Continue Reading....Month: April 2013
Vurugu Kubwa Zazuka Liwale na Arusha
UHARIBIFU mkubwa wa mali umefanywa juzi usiku Mjini Liwale, Lindi baada ya wananchi wenye hasira kuchoma moto nyumba za viongozi waandamizi, makao makuu ya Halmashauri…
Continue Reading....Room to Read Wajenga Madarasa 60 Wilayani Mvomero
Moja ya madarasa katika Shule ya Msingi Dihinda iliyopo kata ya Mvomero ambalo limejengwa na Shirika la Room to Read. *Ni shirika pekee lenye mradi…
Continue Reading....Rais Kikwete Apokea Hati za Utambulisho za Mabalozi Wanne
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, Aprili 24, 2013, amepokea hati za utambulisho za mabalozi wanne ambao wataziwakilisha nchi zao katika…
Continue Reading....Mwaliko Sherehe za Miaka 49 ya Muungano Ujerumani
MWENYEKITI wa Umoja wa Watanzania nchini Ujerumani Bw. Mfundo Peter Mfundo anayofuraha kubwa kuwakaribisha watanzania na marafiki wa Tanzania kutoka pembe mbali mbali za Dunia katika maadhimisho…
Continue Reading....