KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana amesema Tanzania kuna wawekezaji katika sekta mbalimbali za uchumi, lakini Chama Cha Mapinduzi kinaamini kwamba wawekezaji…
Continue Reading....Month: March 2013
Miss Utalii Watembelea Ukumbi waKimataifa wa Makumbusho ya Taifa
WASHIRIKI wa Fainali za Taifa za mashindano ya Miss Utalii Tanzania 2012/13,jana wametembelea Ukumbi wa kwanza na wa Kisasa na wa aina yake Tanzania ambao…
Continue Reading....Dkt Shein Awataka Wazanzibari kudumisha Amani na Utulivu
WAZANZIBARI wametakiwa kuendeleza na kuimarisha umoja miongoni mwao bila kujali tofauti za kiitikadi huku wakidumisha amani, utulivu, upendo na mshikamano kuijenga nchi yao. Wito huo…
Continue Reading....Serikali Kukutana na Viongozi wa Dini, NGO’s na Vyama vya Siasa Mwezi Ujao -Pinda
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Serikali itaitisha kikao cha wadau mbalimbali kutoka taasisi za dini, mashirika yasiyo ya Kiserikali pamoja na vyama vya siasa ili…
Continue Reading....Serikali ya Tanzania Pamoja na Bodi Utalii Nepal Kutangaza Utalii
Mkurugenzi wa Utalii wa Wizara ya Maliasili na Utalii Ibrahim Mussa (kulia) Kwanza ningependa kuwapongeza akinamama hawa kutoka Nepal kwa ujasiri waliouonyesha kwa kupanda mlima…
Continue Reading....Wanafunzi wala mlo mmoja
Na Mwandishi wa Daraja MOJA ya changamoto inayowakabili wanafunzi wa Shule ya Sekondari Kipagalo na Shule ya Msingi Mahulu, zilizopo Makte Njombe ni kutopata chakula…
Continue Reading....