Month: February 2013
Pistorius Asema Alimuua Mpenzi Wake Pasipo Kujua
MWANARIADHA mlemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius alimuua mpenzi wake kimakosa baada ya kudhania kuwa alikuwa mwizi aliyekuwa amevamia nyumba yake. Aliiambia mahakama kuwa alimpenda…
Continue Reading....Kanisa Lachomwa Moto Tena Zanzibar
SIKU tatu baada ya kuuawa kwa kupigwa risasi Padri Evarist Mushi Mjini Zanzibar, Kanisa la The Pool of Siloam lililoko katika Shehia ya Kianga, Wilaya…
Continue Reading....Kashfa Nzito Wizara ya Elimu Tanzania
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi inaweza kukumbwa na kashfa kubwa kutokana na matokeo mabaya ya kidato cha nne ya 2012 yaliyotangazwa juzi na…
Continue Reading....FIFA Yakerwa na Mizengwe ya Uchaguzi TFF, Yasitisha Mchakato
SHIRIKISHO la Kimaifa la Mpira wa Miguu (FIFA) limeahirisha uchaguzi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kutokana na mkanganyiko uliojitokeza katika mchakato wa…
Continue Reading....