Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2013
  • January
  • Page 9

Month: January 2013

Kongamano la Kiuchumi la Davos Uswisi

Posted on: January 24, 2013 - jomushi
Kongamano la Kiuchumi la Davos Uswisi

PAMOJA na masuala ya kiuchumi wajumbe zaidi ya 2500 kwenye kongamano hilo la siku tano watajadili pia masuala ya ulinzi wa mazingira na ya maradhi.…

Continue Reading....

Waepuke Matapeli Hawa Wanaoitumia TGNP

Posted on: January 24, 2013 - jomushi
Waepuke Matapeli Hawa Wanaoitumia TGNP

Waepuke Matapeli Hawa Wanaoitumia TGNP Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) unapenda kuutangazia umma kuwa kuna mtu anayejiita Lilian Dihalo, mwenye namba za simu 0717-196386 na…

Continue Reading....

Membe Kumsafishia Njia Kikwete APRM

Posted on: January 24, 2013 - jomushi
Membe Kumsafishia Njia Kikwete APRM

Na Hassan Abbas, Addis Abbas WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe anatarajiwa kumsafishia njia Rais Jakaya Kikwete anayetarajiwa kuwasilisha na…

Continue Reading....

Lengo la SMZ ni Kukuza Kipato cha Mwananchi- Dk Shein

Posted on: January 24, 2013 - jomushi
Lengo la SMZ ni Kukuza Kipato cha Mwananchi- Dk Shein

Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema juhudi zinazochukuliwa na Serikali ya Mapinduzi…

Continue Reading....

Tamasha la Vipaji Kufanyika Januari 27

Posted on: January 24, 2013 - jomushi
Tamasha la Vipaji Kufanyika Januari 27

TAMASHA kubwa la vipaji linatarajia kufanyika katika Ukumbi wa Ikondolelo Lodge Hoteli ya Kitalii Kibamba Jumapili hii. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya…

Continue Reading....

Mtandao wa Ligi Kuu ya Vodacom Wazinduliwa

Posted on: January 24, 2013 - jomushi
Mtandao wa Ligi Kuu ya Vodacom Wazinduliwa

Kutoka kulia ni Rodney Rugambo, Wawila Nzowa, Evelyne Auguste na Dennis Rauya wakifuatilia maelezo ya mmoja wa wataalam wa mtandao huo wakati wa uzinduzi huo.…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari